invité_sw

Soumis par derick le sam 22/06/2024 - 19:19

HUMANITAIRE

Wataalam wamoja wa haki za wakimbizi wenye kutoka katika nchi za kigeni ndani ya kandaa ya maziwa makuu wanaomba kwa Commission nationale des réfugiés kuidadisha wakimbizi wote wanao patikana DRC ili wahudumiwe vema muda ambao wapatikana inchini. Ni kama vile Pecos KULIHOSHI aliye towa maoni yake kwa hafla ya siku kuu duniani ya wakimbizi walio toka katika nchi za kigeni na wenye kukosa makao. Kulingana naye, shirika lake lina ripoti zinazo towa hesabu ya zaidi ya wakimbizi millioni nne wakati ambapo mashirika  HCR na CNR zinaongeleya idadi ya wakimbizi elfu mia tano ishirni pekee. Anajulisha kuwa watu hawa walitokeya  Rwanda, Burundi, Uganda, Sudan, Jamhuri ya Afrika ya Kati Angola, Sudan ya Kusini na Ethiopia.

Audio

Ajouter un commentaire

HTML restreint

  • Balises HTML autorisées : <a href hreflang> <em> <strong> <cite> <blockquote cite> <code> <ul type> <ol start type> <li> <dl> <dt> <dd> <h2 id> <h3 id> <h4 id> <h5 id> <h6 id>
  • Les lignes et les paragraphes vont à la ligne automatiquement.
  • Les adresses de pages web et les adresses courriel se transforment en liens automatiquement.